Katibu Mkuu Wizara ya Nishati,
Mhandisi Zena Said (kushoto) akipata maelezo kuhusu miradi mbalimbali ya
TPDC kutoka kwa Meneja Mkuu wa GASCO, Kampuni Tanzu ya TPDC, Mhandisi
Baltazar Mrosso alipotembelea banda la TPDC wakati wa maonesho ya siku
ya Wahandisi yanayoendelea Jijini Dodoma, mwingine pichani ni Bi Marie
Msellemu, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano TPDC
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati,
Mhandisi Zena Said akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea
banda la TPDC wakati wa maonesho ya siku ya Wahandisi yanayoendelea
Jijini Dodoma,aliyesimama ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na
Uhusiano TPDC Bi Marie Msellemu
No comments :
Post a Comment