TBS imeshawatembelea wafanyabiashara hao katika Mkoa wa Singida hasa kutokana na Mkoa huo kusifika kwa uzalishaji wa mafuta bora ya alizeti.
TBS imepanga kutembelea Mikoa ya Singida, Tabora na Dodoma.
Maafisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wakiwa wameambatana na maafisa kutoka ofisi za Halmashauri ya manispaa ya Singida na Wizara ya Viwanda na Biashara, wakitoa elimu juu ya usindikaji na uhifadhi kwa muuzaji wa mafuta ya alizeti katika soko kuu mkoani Singida.
wakitoa elimu juu ya usindikaji na uhifadhi
No comments :
Post a Comment