Friday, August 14, 2020

MAJALIWA AKAGUA UKARABATI WA BARABARA YA SOMANGA – MBWEMKURU KATIKA KIJIJI CHA MTANDI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa barabara ya Somanga – Mbwemkuru katika kijiji cha  Mtandi Kata ya Kiranjeranje wilayani Kilwa , Agosti 13, 2020. Kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch.Elius Mwakalinga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments :

Post a Comment