Wazazi waliokamatwa na jeshi la
polisi wilayani Tunduru wakiwafundisha watoto wadogo walio na umri wa
miaka minane wakiwa katika kituo kikuu cha Polisi wilayani humo jana.
Wazazi wa kata ya Nalasi wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma wakiwa kwenye gari la Polisi baada ya kukamatwa
wakiwafundisha watoto wao wadogo wenye umri chini ya miaka minane
masuala ya ngono na jinsi ya kuishi na wanaume,vitendo vinavyotajwa
kuchochea vitendo vya ngono na mimba za utotoni wilayani humo.
Baadhi ya wazazi kutoka kata ya
Nalasi wilaya ya Tunduru wakipanda Kalandinga(gari)la Polisi baada ya
kukamatwa jana wakiwafundisha watoto wao wenye umri chini ya miaka
minane masuala ya ngono na kuishi na wanaume vitendo vinavyotajwa
kuchangia kwa
kiwango kikubwa ongezeko la mimba za utotoni kwa
wasichana wengi katika wilaya hiyo.
…………………………………………………………………………………..
No comments :
Post a Comment