Baadhi ya wawakilishi kutoka
Wizara Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)
wakipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh milioni tano kutoka kwa
Grace Chambua Meneja Mauzo Vodacom Kanda ya Kati iliyotolewa kwa mmoja
wa shindano la Kitaifa wa shindano la Teknolojia ya ubunifu (makisatu
2020) lililofanyika Jijiji Dodoma mwezi machi mwaka huu uwanja wa
Jamhuri.Vodacom walitoa sh milioni 20 kwa washindi wa ubunifu kwa shule
za Msingi na Seondari
Meneja Mauzo Vodacom Kanda ya Kati
,Grace Chambua (kulia) akisalimiana na Naibu Waziri Wizara ya
Elimu,Sayansi na Teknolojia ,William Ole Nasha (kushoto) wakati wa
hafala fupi ya kutoa zawadi kwa washindi wa shindano la teknolojia na
ubunifu iliyofanyika jana Jijini Dodoma,Vodacom ilitoa sh milioni 20 kwa
washindi wa shindano hilo .
Meneja Mauzo Vodacom Kanda ya Kati
,Grace Chambua akizungumza kwenye hafala fupi ya kutoa zawadi kwa
washindi wa shindano la teknolojia na ubunifu lililofanyika machi mwaka
huu na zawadi zake kukabidhiwa jana Jijini Dodoma,Vodacom ilitoa sh
milioni 20 kwa washindi wa shindano hilo uapnde wa wabunifu wa Shule za
Msingi na Sekondari.
Meneja Mauzo Vodacom Kanda ya Kati ,Grace
Chambua (kulia)akiwa na Naibu Waziri Wizara ya Elimu,Sayansi na
Teknolojia ,William Ole Nasha (kushoto) pamoja na Naibu Katibu Mkuu
Wizara hiyo Profesa James Mdoe walipokuwa kwenye hafala fupi ya kutoa
zawadi kwa washindi wa shindano la teknolojia na ubunifu lililofanyika
machi mwaka huu na zawadi zake kukabidhiwa jana Jijini Dodoma,Vodacom
ilitoa sh milioni 20 kwa washindi wa shindano hilo uapnde wa wabunifu wa
Shule za Msingi na Sekondari.
No comments :
Post a Comment