TUME
ya Madini leo tarehe 13 Julai, 2020 imekuwa mshindi kwenye Kundi la
Nishati na Madini kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba
yaliyomalizika leo katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es
Salaam.
Katibu
Mtendaji tume ya madini, Profesa Shukrani Manya akiwa ameshika tunzo
waliopata katika kipengele Cha madini na gesi wameibuka washindi wa
kwanza
No comments :
Post a Comment