Tuesday, June 9, 2020

Nabii Joshua Aongoza Maelfu ya Watu kuiaga Corona Tanzania



Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala (wa tatu kutoka kulia) akiongoza maelfu ya Watanzania katika ibada maalum ya kuuaga ugonjwa wa virusi vya corona (COVID-19) iliyofanyika katika Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania iliyopo Yespa, Kihonda mjini Morogoro.
Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Ararm Mwantyala akiongoza maelfu ya Watanzania katika maombi ya kumshukuru Mungu kwa kuiondoa corona nchini Tanzania. (Picha na Sauti ya Uponyaji Tanzania).
……………………………………………………………………..
Na Mwandishi Wetu, Kihonda

No comments :

Post a Comment