Mkuu wa mauzo wa
kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kanda ya kaskazini,
Brigita Stephen akikabidhi vifaa mbalimbali kwa niaba ya wafanyakazi wa
Vodacom kanda hiyo kwa wakinamama waliojifungua na wanaotarajia
kujifungua kwenye Hospitali ya Tengeru iliyopo Halmashauri ya Meru
jijini Arusha leo, Ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake
Duniani, ambapo kauli mbiu yao ni “uwajibikaji wa uongozi katika kujenga
kizazi cha usawa wa Jinsia”
Meneja wa VBU, Scola
Lyakurwa akizungumza na Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Tengeru
mara baada ya kutoa vifaa mbali mbali ikiwa sehemu ya kuwafariji
wakinamama waliojifungua na wanaotarajia kujifungua kuelekea siku ya
wanawake Duniani.
No comments :
Post a Comment