Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akikagua eneo la machimbo ya madini ya Boxite la Magamba wilayani
Lushoto, Machi 5, 2020. Wa pili kulia ni Waziri wa Madini, Doto Biteko,
wanne kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
Angelina Mabula na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela.
Aliagiza kusitishwa kwa shughuli za uchambaji katika machimbo hayo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na wananchi katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Mabughani
wilayani Lushoto, Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments :
Post a Comment