Tuesday, March 3, 2020

DK,SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora  katika kikao cha utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha  Julai-Disemba 2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,(kushoto) Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Nd,Yakout Hassan Yakout,[Picha na Ikulu].03/03/2020.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Haji Ussi (katikati)   alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba 2019 kwa   niamba Waziri wa Ofisi ya Rais ya Utumishi wa Umma na Utawala Maalim Haroun Ali Suleiman   katika kikao cha Uongozi wa Wizara hiyo kilichofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,chini ya  Mwenyekiti wake  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) na Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee (kulia),[Picha na Ikulu.] 03/03/2020.
Viongozi katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifuatilia kwa makini kikao cha Uongozi wa Wizara hiyo cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba 2019 kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Mwenyekiti wake alikuwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),[Picha na Ikulu] 03/3/2020.  
Wakuu wa Idara mbali mbali katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Utumishi wa Umma na Utawala Bora  wakiwa  katika kikao cha utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha  Julai-Disemba 2019  kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Mwenyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),[Picha na Ikulu.] 03/3/2020.

No comments :

Post a Comment