Afisa Utalii wa Hifadhi ya Taifa ya Saadan Athuman Mbae akizungumza na waandishi wa habari
| Afisa Uhifadhi wa Kitengo cha Utalii Hifadhi ya Taifa ya Saadan Prisca Lyimo akielezea mikakati waliokuwa nayo |
| Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Saadani Martina Ngulei akizungumza kuhusu namna walivyonufaika na uwepo wa hifadhi hiyo |
| Afisa Utalii wa Hifadhi ya Taifa ya Saadan Athuman Mbae katikati akiwa na wageni kutoka mataifa mbalimbali waliotembelea hifadhi hiyo |
| Sehemu ya wageni wakifurahia utalii ndani ya hifadhi ya Taifa ya Saadan |
![]() |
| Aina ya malazi yanayopatikana kwenye hifadhi ya Taifa ya Saadan kwa wageni wanaofika kutembelea vivutio mbalimbali |
| Mamba akiwa pembezoni mto Wami akiota jua kama alivyokutwa ambapo jamii ya Mamba wanapatikana pia kwenye hifadhi hiyo |
Kundi la Wanyama aina ya Swala wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya
Wanyama aina ya Pundamilia wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan
Aina
ya Makundi ya Ndege ambayo yamejenga kiota kwenye hifadhi ya Taifa ya
Saadan ndani ya Mto Wami ambapo ndege hao huishi pamoja ambao huishi
hapo kwa ajili ya kuijepusha na maadui zao
Wanyama aina ya Pundamilia wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan
Wanyama aina ya Twiga wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan
Wanyama aina ya Ngiri wakila majani ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan
Mnyama Ngiri akiwa anakula majani karibu na bahari ya hindi kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadan
Ndege aina ya Fundi Chuma akiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Saadan
Mtalii akifurahia upepo wa bahari ndani ya Taifa ya Saadan
Hifadhi
ya Taifa ya Saadani imetumia kiasi zaidi ya sh Bil 1.1 kwa ajili ya miradi ya
maendeleo kwenye vijiji 11 Kati ya 16 vinavyozunguka hifadhi hiyo kupitia
mpango wa ujirani mwema.
ya Taifa ya Saadani imetumia kiasi zaidi ya sh Bil 1.1 kwa ajili ya miradi ya
maendeleo kwenye vijiji 11 Kati ya 16 vinavyozunguka hifadhi hiyo kupitia
mpango wa ujirani mwema.
Hayo
yalisemwa na Afisa utalii wa hifadhi hiyo Athuman Mbae wakati akizungumza na
waandishi wa habari walipotembelea hifadhi hiyo hivi karibuni kujionea shughuli
za utalii.
yalisemwa na Afisa utalii wa hifadhi hiyo Athuman Mbae wakati akizungumza na
waandishi wa habari walipotembelea hifadhi hiyo hivi karibuni kujionea shughuli
za utalii.
Alisema
kuwa jumla ya miradi 23 iliyoko kwenye sekta za Afya, Elimu, Maji na Mazingira
imeweza kufadhiliwa na hifadhi hiyo kwa kushirikiana na wananchi.
kuwa jumla ya miradi 23 iliyoko kwenye sekta za Afya, Elimu, Maji na Mazingira
imeweza kufadhiliwa na hifadhi hiyo kwa kushirikiana na wananchi.

No comments :
Post a Comment