Tanzania ikiwa kama mwanachama wa Shirika la Miliki Bunifu Duniani (World Intellectual Property-WIPO) Kupitia Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) iliyopo chini ya
Mafunzo hayo yamedhaminiwa na
Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO), Nchi ya Misri na Ofisi ya
Hataza ya Misri na kuhudhuriwa na wawakilishi kutoka Nchi 15 za Africa
Tanzania imewakilishwa na Bi Suzana Senso-Afisa Mwandamizi Kutoka
kitengo cha Miliki Bunifu-Brela
Mafunzo haya yanamanufaa kwa Taifa letu kwenye maswala ya uvumbuzi ili kuweza kuendana na kauli mbiu ya Serikali ya Viwanda
Vumbuzi zinahitajika ili kuwa na Bidhaa na huduma zenye ubora na zenye kukidhi mahitaji ya wananchi,ili kuendana na ulimwengu wa sasa wa Technolojia
Vumbuzi zinahitajika ili kuwa na Bidhaa na huduma zenye ubora na zenye kukidhi mahitaji ya wananchi,ili kuendana na ulimwengu wa sasa wa Technolojia
No comments :
Post a Comment