Wednesday, September 4, 2019

RAIS WA ZANZIBAER MHE.DK. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS NA MWENEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI.


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Wizara hiyo kwa mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika Ikulu Zanzibar leo 3-9-2019.(Picha na Ikulu)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu, akiwasilisha ripoti ya Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi kwa Julai 2018 hadi Juni 2019, kulia Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg.Salum Kassim Ali.(Picha na Ikulu)
 Baadhi ya Watendaji wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, wakifuatilia taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Ofisi yao kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)

 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg Salum Kassim Ali, akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019, wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,  , wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, hayuko pichani.(Picha na Ikulu)

No comments :

Post a Comment