Kampeni
ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Shinyanga kuwa na vyoo kwenye nyumba
zao "Nyumba ni Choo", imezinduliwa na mkuu wa mkoa wa Shinyanga
Mhe.Zainab Telack, na kuwaonya wanasiasa ambao watawakingia kifua
wananchi ambao watachukuliwa hatua kwa sababu ya kutokuwa na vyoo kwenye
kaya zao kwa madai ni wapiga kura wao, kuwa atakaye fanya hivyo
atashughulikiwa.
No comments :
Post a Comment