Wednesday, August 21, 2019

ZIARA YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR BALOZI SEIF YAJA NA NEEMA KWA WAKULIMA WA TUMBAKU KAHAMA


Serikali mkoani Shinyanga imewatoa wasiwasi wakulima wa zao la Tumbaku katika halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama juu ya uuzaji wa tumbaku kilo milioni mbili ambayo imebaki na kusema kwamba wanunuzi wapo na itanunuliwa yote.

No comments :

Post a Comment