![]() |
| Waziri Kabudi akisalimiana na ujumbe wa waendesha baiskeli kutoka nchi wanachama za Afrika Mashariki walipowasili katika viunga vya Ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere. |
![]() |
| Msafara wa waendesha Baiskeli wakiwasili katika viunga vya Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Agosti 21, 2019 |
![]() |
| Waziri Kabudi akisalimiana na ujumbe wa waendesha baiskeli kutoka nchi wanachama za Afrika Mashariki walipowasili katika viunga vya Ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere |
![]() |
| Waziri Kabudi akizungumza wakati wa mapokezi ya msafara wa ujumbe wa waendesha baiskeli wa Afrika Mashariki |
![]() |
| Bw. John Barongo, Kiongozi wa msafara wa waendesha baiskeli wa Afrika Mashariki akizungumza baada ya mapokezi |
Mhe.
Prof. Palamagamba Kabudi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Afrika Mashariki na Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za Afrika
Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa waendesha baiskeli
|








No comments :
Post a Comment