Tuesday, April 23, 2019

MAHAFALI YA 14 YA SUZA ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akiwatunuku Shahada ya Uzamuli ya Sanaa ya Kiswahili, wakati wa hafla ya Mahafali ya 14 ya SUZA yaliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein Tunguu Zanzibar.(Picha na Ikulu)

Wahitimu wa Mahafali ya 14 ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar SUZA Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika ukumbi wa mikutano wa Dk. Ali Mohamed Shein.Tunguu Zanzibar(Picha na Ikulu)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA)Mhe.Dk Ali Mohamed Shein, akimkabidhi zawadi Mwanafunzi Bora wa Shahada ya Utabibu (Udaktari) Safia Annas Masoud, wakati wa hafla hiyo ya Mahafali ya 14 ya SUZA yaliofanyika katika Ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein Tunguu Zanzibar(Picha na Ikulu)


Wahitimu wa Mahafali ya 14 ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar SUZA wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika Ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein Tunguu Zanzibar.(Picha na Ikulu)

No comments :

Post a Comment