Thursday, January 31, 2019

SPIKA WA BUNGE AKIMUAGA MHE. KITWANGA UWANJA WA NDEGE JIJINI DODOMA WAKATI AKIPELEKWA JIJINI DAR ES SALAAM KWA MATIBABU ZAIDI


PIC 3-min PIC 2-min PIC 1-min
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akiagana na Mbunge wa Misugwi Mhe. Charles Kitwaga katika Uwanja wa Ndege wa Jijini Dodoma kabla ya kusafirishwa kwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa  matibabu zaidi. Kulia kwa Spika ni Naibu wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula na kushoto kwa Spika ni Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai.
PICHA NA BUNGE

No comments :

Post a Comment