“Nimeandika barua ambayo nitakukabidhi balozi, umpelekee Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu inayoeleza namna ninavyokubali utendaji kazi wake, najua hii barua itamfikia ili kuonyesha kazi nzuri mliofanya,” amesema Rais Magufuli.
Hata hivyo, madaktari hao zaidi ya thelathini wamekuja nchini kwa ajili ya kufanya upasuaji wa moyo kwa watoto 51 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete na Hospitali ya taifa ya Muhimbili.
No comments :
Post a Comment