Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa maonesho ya Siku ya Chakula Duniani yaliyofanyika leo katika kijiji cha Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba (kulia) Waziri wa Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi Rashid Ali Juma
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) alipokuwa akitoa
hutuba yake katika sherehe za uzinduzi wa maonesho ya Siku ya Chakula
Duniani yaliyofanyika leo katika kijiji cha Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
Baadhi ya Wananchi waliohudhuria katika maonesho ya Siku ya Chakula Duniani yaliyofanyika leo katika kijiji cha Chamanangwe Wilaya
ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimskiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani)
alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe za uzinduzi wa maonesho hayo
yaliyojumisha aina mbali mbali ya kilimo,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(kulia) alipokuwa akimkabidhi
zana za Kilimo kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakulima Bw.Hamad Othman
Sheik wa Koowe katika sherehe za maonesho ya Siku ya Chakula Duniani yaliyofanyika leo katika kijiji cha Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akivuma mahindi katika shamba la mfano katika sherehe za maonesho ya Siku ya Chakula Duniani yaliyofanyika leo katika kijiji cha Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(katikati)akifuatana na Waziri wa Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi
Mhe.Rashid Ali Juma (kushoto) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Harouin Ali Suleiman
wakati alipotembelea aina ya Vilimo mbali mbali na Ufugaji katika maonesho ya Siku ya Chakula Duniani yaliyofanyika leo katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(wa pili kushoto)akiwa na Waziri wa Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi
Mhe.Rashid Ali Juma (kushoto) pamoja na Viongozi mbali mbali
wakiangalia Viazi vitamu wakati alipotembelea aina ya Vilimo mbali
mbali na Ufugaji katika maonesho ya Siku ya Chakula Duniani yaliyofanyika leo katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba,
Picha na Ikulu
No comments :
Post a Comment