Wednesday, September 19, 2018

WIZARA YA AFYA YAPATIWA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA KUHUDUMIA WATOTO DUNIANI


1 (13)
Naibu waziri wa Afya Harusi Said Suleiman (kushoto) akipokea msaada wa Vifaa mbalimbali ikiwemo Television kutoka Shirika la kuhudumia watoto Duniani (UNICEF) kwa Mwakilishi wa (UNICEF) Dkt. Maryam Seif Hemed vifaa hivyo vitatumika kutoa elimu na kuimarisha afya za kinamama na watoto.
2 (21)
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakipatiwa maelezo na Naibu Waziri wa Afya Harusi Said  Suleiman baada ya kukabidhiwa Vifaa mbalimbali ikiwemo Television kutoka Shirika la kuhudumia watoto Duniani (UNICEF) huko Wizara ya Afya MmaziMmoja.
3 (19)
Vifaa vitakavyotumika kwaajili ya matibabu katika Hospitali ya Mnazimmoja.  
4 (15)
Baadhi ya Vifaa vitakavyotumika kwaajili ya matibabu katika Hospitali ya Mnazimmoja.  
              Picha Na Miza Othman – Maelezo Zanzibar.

No comments :

Post a Comment