Saturday, August 25, 2018

RAIS MAGUFULI AKAGUA BUSTANI YA MBOGAMBOGA ILIYOKUWA IKILIMWA NA MAREHEMU DADA YAKE MONICA JOSEPH MAGUFULI


Picha mbalimbali zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bustani za mbogamboga mbalimbali zilizokuwa zikilimwa na Marehemu Dada yake Monica Joseph Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita leo Jumamosi Agosti 25, 2018.

Akimzungumzia marehemu dada yake, mara baada ya mazishi, Rais Magufuli alisema, “Mboga zote za majani walizokuwa wakitumia hapo nyumbani kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja au miwili zilikuwa zinalimwa na dada yangu Monica, nyanya nakadhalika,” Alisema Dkt. Magufuli.





No comments :

Post a Comment