Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akimsikiliza Mhandisi
Jamal Mruma, anayejenga kwa kiwango cha lami barabara yenye urefu wa
kilometa mbili inayo unganisha Daraja la Nyerere na barabara ya Kibada
-Feri iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam wakati akikagua ujenzi wa
hiyo. Wapili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NMSSF, Bw. William Erio.
Mmoja
wa Wananchi akikamilisha taratibu za malipo katika Daraja la Nyerere
lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Daraja la kigamboni tangu
lianze kufanya kazi mwezi Mei mwaka 2016 hadi Juni 2018, takribani
shilingi bilioni 17.1 zimekusanywa na kwa wastani kila mwezi mapato ya
shilingi milioni 600 hukusanywa.
No comments :
Post a Comment