Sunday, July 1, 2018

RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI DOMINIKA YA 13 KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM


c1 c3 c6
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Julai 1, 2018 ameungana na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.
c5
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mstaafu Mhe. Thomas  Mihayo, ambaye nii mmoja wa wazee wa kanisa  leo Julai 1, 2018 alipoungana na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.
c10
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipena amani na  waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.
Picha na IKULU

No comments :

Post a Comment