Mratibu aliyemaliza muda wake wa
timu ya madaktari wa China wanaotoa huduma za afya nchini, Sao Tao
akichangia damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es
Salaam. Baada ya Tao kuchangia damu, uongozi wa hospitali hiyo
ulimkabidhi cheti cha shukrani kutokana na kuhudumu kwa miaka tisa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali
ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Lawrence Museru akiwa na mratibu huyo,
Sao Tao baada ya kumkabidhi cheti cha shukrani.
Prof.Museru akimvisha skafu, Sao Tao baada ya kuchangia damu katika hospitali hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili,
Prof. Museru akiwa katika picha ya pamoja na Sao Tao. Wengine ni
watumishi wa Idara ya Maabara Kuu- Muhimbili.
No comments :
Post a Comment