Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini
Tanzania Jenerali Venance Mabeyo akisalimiana na Lilian Fungamtama
kutoka idara ya Biashara ya Shirika la Ndege la ATCL wakati
alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya Sabasaba
viwanja vya TANTRADE Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam ili kupata
taarifa zaidi kuhusu ujio wa ndege mpya ya Dreamliner 787-8 ya shirika
hilo na mambo mbalimbali katika sekta ya usafiri wa anga.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini
Tanzania Jenerali Venance Mabeyo akionyeshwa mfano wa ndege mpya ya
Dreamliner 787-8 na Lilian Fungamtama kutoka idara ya Biashara ya
Shirika la Ndege la ATCL wakati alipotembelea banda la kampuni hiyo
kwenye maonesho ya Sabasaba viwanja vya TANTRADE Barabara ya Kilwa
jijini Dar es salaam
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini
Tanzania Jenerali Venance Mabeyo akipata maelezo mbalimbali kutoka kwa
Lilian Fungamtama wa idara ya Biashara ya Shirika la Ndege la ATCL
wakati alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya Sabasaba
viwanja vya TANTRADE Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini
Tanzania Jenerali Venance Mabeyo akisaini kitabu cha wageni wakati
alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya Sabasaba
viwanja vya TANTRADE Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam
Baadhi ya maofisa wa Jeshi la
Wananchi na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara TANTRADE alioongozana nao
alipokuwa akitembelea mabanda katika maonesho hayo.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini
Tanzania Jenerali Venance Mabeyo akionyeshwa mfano wa ndege ya
Bombadier na Lilian Fungamtama kutoka idara ya Biashara ya Shirika la
Ndege la ATCL wakati alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye
maonesho ya Sabasaba viwanja vya TANTRADE Barabara ya Kilwa jijini Dar
es salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa ATCL
wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
Tanzania Jenerali Venance Mabeyo kutembelea banda lao leo.
No comments :
Post a Comment