Wednesday, May 9, 2018

WAZIRI WA MAMBO YA NJE UJERUMANI AKITEMBELEA TAASISI ZA UN TANZANIA


????????????????????????????????????
 Waziri wa Mambo ya nje wa Ujerumani Heiko Maas  akiwasili katika katika Taasisi ya  Umoja wa Mataifa  (UN) ya kushughulikia Masuala yaliyoachwa na Mahakama za jinai za umoja wa mataifa  zilizoko eneo la Laki laki jijini Arusha Tanzania,wapili  kulia ni  Afisa Mkuu wa Mambo ya nje katika taasisi hiyo  Ousman Njikam ,kushoto ni  Msimamizi Mkuu wa Msajili wa Mahakama Sera Attika
DSC_0314
 Waziri wa Mambo ya nje wa Ujerumani Heiko Maas  akisaini kitabu cha wageni ali[powasili katika katika Taasisi ya  Umoja wa Mataifa  (UN) ya kushughulikia Masuala yaliyoachwa na Mahakama za jinai za umoja wa mataifa  zilizoko eneo la Laki laki jijini Arusha nchini  Tanzania .Kulia kwake ni  Msimamizi Mkuu wa Msajili wa Mahakama Sera Attika
DSC_0307
Msajili wa Mahakama ya jinai ya Umoja wa Mataifa UN nchini Tanzania  Sera Attika akifafanua jambo kwa Waziri wa Mambo ya nje wa Ujerumani Heiko Maas  ,katikati ni Afisa Mkuu wa Mambo ya nje katika taasisi hiyo  Ousman Njikam ,kufuatia ziara ya kwanza ya Wwaziri huyo kutembelea Taasisi ya  Umoja wa Mataifa  (UN) ya kushughulikia Masuala yaliyoachwa na Mahakama za jinai za umoja wa mataifa  zilizoko eneo la Laki laki
DSC_0295
 Waziri wa Mambo ya nje wa Ujerumani Heiko Maas  (katikati) akiwa katika Mahakama za jinai za umoja wa mataifa  zilizoko eneo la Laki laki jijini Arusha Tanzania ,kushoto ni Msimamizi Mkuu wa Msajili wa Mahakama  hiyo Sera Attika .Kulia ni Afisa Mkuu wa Mambo ya nje katika taasisi hiyo  Ousman Njikam
 
 Picha na mahmoud ahmad
 

No comments :

Post a Comment