Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiteta na Naibu Waziri , Ofisi ya Rais TAMISEMI, Josephat Kandege,
bungeni mjini Dodoma, Aprili 25, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama
akizungumza na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Josephat Kandege,
bungeni mjini Dodoma, Aprili 25, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Mbunge wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo
kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Aprili 25, 2018. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (katikati) na Mbunge wa
Singida Magharibi Elibariki Kingu kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Aprili 25, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (katikati) na Mbunge wa
Singida Magharibi Elibariki Kingu kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Aprili 25, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya El
Shadai ya mjini Dodoma kwenye viwanja vya bunge, Aprili 25, 2018. Wapili
kushoto ni mwalimu wa Shule hiyo, Vincent Kawilima.(Pica na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na wabunge kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma, Aprili 25,
2018. Kutoka kushoto ni Dkt, Raphael Chegeni wa Busega, Danstan
Kitandula wa Mkinga, Venance Mwamomoto wa Kilolo, Mussa Sima wa Singida
Mjini na Mbunge wa Kuteuliwa Abdallah Bulembo. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Mbunge wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi kwenye viwanja vya
Bunge Mjini Dodoma, Aprili 25, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments :
Post a Comment