Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
Simon Sirro, akizungumza na baadhi ya wanafunzi wanaojifunza ushonaji
katika kiwanda cha ushonaji kilichopo katika Bohari Kuu ya Jeshi hilo
jijini Dar es salaam, wakati alipofanya ziara ya ghafla kiwandani hapo
ili kuona utendaji wao.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
Simon Sirro (kushoto) akiangalia namana askari wa Jeshi hilo
wakitekeleza majukumu yao kwa kushona sare za Jeshi hilo katika kiwanda
cha ushonaji kilichopo katika Boharia Kuu ya Polisi jijini Dar es salaam
wakati alipofanya ziara ya ghafla kiwandani hapo ili kuona utendaji
wao.
No comments :
Post a Comment