BALOZI WA TANZANIA NCHINI ALGERIA AUNGANA NATAIFA STARS KUPATA CHAKULA CHA PAMOJA
Kuelekea mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Algeria
unaochezwa leo huko Algiers saa 2 Usiku kwa saa za nyumbani (Tanzania),
Balozi wa Tanzania nchini humo, Omar Yusuph Mzee, jana aliwaandalia
chakula cha usiku wachezaji wa Taifa Stars, benchi la ufundi na viongozi
walioambatana na timu hiyo.
Share
No comments :
Post a Comment