MAULID MTULIA AIBUKA NA USHINDI WA KISHINDO UBUNGE KINONDONI
Tume ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza
Maulid Mtulia wa Chama cha Mapinduzi(CCM) kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo
wa Ubunge, Jimbo la Kinondoni baada ya kupata kura 30,313 dhidi ya
mpinzani wake wa karibu, Salum Mwalim (CHADEMA) aliyepata kura 12,353
No comments :
Post a Comment