Mkurugenzi wa kituo cha Redio cha Times Fm Rehure Nyaulawa akimkabidhi cheti cha pongezi Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi wakati wa hafla fupi ya kukabidhi tuzo ya kuthamni na kutambua kazi nzuri waliyoifanya kwa mwaka 2017 ya kutoa huduma bora ya matibabu ya Moyo na kuokoa maisha ya watanzania. JKCI ni moja ya Taasisi za Serikali ziliyopewa tuzo na Times FM.
Mkurugenzi wa kituo cha Redio cha Times Fm Rehure Nyaulawa akimkabidhi tuzo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi wakati wa hafla fupi ya kukabidhi tuzo ya kuthamini na kutambua kazi nzuri waliyoifanya kwa mwaka 2017 ya kutoa huduma bora ya matibabu ya Moyo na kuokoa maisha ya watanzania. JKCI ni moja ya Taasisi za Serikali ziliyopewa tuzo na Times FM.
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kituo cha Redio cha Times Fm wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa hafla fupi ya kukabidhi tuzo ya kuthamini na kutambua kazi nzuri iliyofanywa na JKCI kwa mwaka 2017 ya kutoa huduma bora ya matibabu ya Moyo na kuokoa maisha ya watanzania. JKCI ni moja ya Taasisi za Serikali ziliyopewa tuzo na Times FM
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwaeleza wafanyakazi wa kituo cha Redio cha Times Fm jinsi Taasisi hiyo inavyofanya kazi wakati wa hafla fupi ya kukabidhi tuzo ya kuthamini na kutambua kazi nzuri iliyofanywa na JKCI kwa mwaka 2017 ya kutoa huduma bora ya matibabu ya Moyo na kuokoa maisha ya watanzania. Kushoto ni Mkurugenzi wa kituo cha Redio cha Times Fm Rehure Nyaulawa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwaeleza wafanyakazi wa kituo cha Redio cha Times Fm madhara ya ulaji vyakula vyenye mafuta mengi, chumvi nyingi, uvutaji sigara na unywaji wa pombe uliopitiliza kwa afya ya moyo. Wafanyakazi wa Times FM walitembelea Taasisi kwa ajili ya kukabidhi tuzo ya kuthamini na kutambua kazi nzuri iliyofanywa na JKCI kwa mwaka 2017 ya kutoa huduma bora ya matibabu ya Moyo na kuokoa maisha ya watanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwaeleza wafanyakazi wa kituo cha Redio cha Times Fm jinsi Taasisi hiyo inavyofanya kazi wakati wa hafla fupi ya kukabidhi tuzo ya kuthamini na kutambua kazi nzuri iliyofanywa na JKCI kwa mwaka 2017 ya kutoa huduma bora ya matibabu ya Moyo na kuokoa maisha ya watanzania.
Picha na JKCI
No comments :
Post a Comment