Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya
Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika katika Ukumbi wa White
House mjini Dodoma. Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu wa CCM
Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip
Mangula.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya
Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika katika Ukumbi wa White
House mjini Dodoma. Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu wa CCM
Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip
Mangula.
Katibu Mkuu wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana akizungumza katika kikao cha
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika
katika Ukumbi wa White House mjini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana akizungumza katika kikao cha
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika
katika Ukumbi wa White House mjini Dodoma.
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya
Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wakiimba mara baada ya Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili katika
ukumbi wa Chama cha Mapinduzi (White House) mjini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha
Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed
Salim akiwaaga wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CC) mara
baada ya kumaliza muda wake.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha
Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed
Salim akiwaaga wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CC) mara
baada ya kumaliza muda wake.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye amemaliza muda wake Waziri Mkuu Mstaafu
Dkt. Salim Ahmed Salim. Picha na IKULU
No comments :
Post a Comment