Waziri wa Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Isack Kamwelwe akizungumza wakati akifungua mkutano wa mwaka wa
wadau wanaotoa huduma za maji nchini leo kwenye Ukumbi wa Hotel ya
Tanga Beach Jijini Tanga
| Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Proffessa Kitila Mkumbo akizungumza katika mkutano huo |
Mwenyekiti wa ATAWAS,Mhandisi Mkama Manyama Bwire akizungumza katika mkutano huo
Waziri wa Wizara ya Maji na
Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe kulia katikati Katibu Mkuu wa Wizara
ya Maji na Umwagiliaji Proffessa Kitila Mkumbo kushoto ni Mwenyekiti wa
ATAWAS Mhandisi Mkama Manyama Bwire wakifuatilia mkutano huo
Waziri wa Wizara ya Maji na
Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe kulia katikati Katibu Mkuu wa Wizara
ya Maji na Umwagiliaji Proffessa Kitila Mkumbo kushoto ni Mwenyekiti wa
ATAWAS Mhandisi Mkama Manyama Bwire wakifuatilia mkutano huo
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka
ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi
Joshua Mgeyekwa anayehamia Mkoani Shinyanga akifuatilia kwa umakini
hotuba ya Waziri wa Maji na Umwagiliaji,Mhandisi Isack Kamwelwe.
| Afisa Mtendaji Mkuu DAWASCO Mhandisi Cyprian Luhemeja kulia akiwa kwenye mkutano huo ambao ulifanyika kwenye ukumbi wa Hotel ya Tanga Beach Resort Jijini Tanga |
Sehemu
wa wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini hotuba ya Waziri wa
Maji na Umwagiliaji,Mhandisi Isack Kamwelwe leo wakati akiufungua
uliofanyika kwenye ukumbi wa Hotel ya Tanga Beach Resort Mjini Tanga
Mmmoja kati ya washiriki wa kikao hicho akijitambulisha kabla ya kuanza mkutano huo
Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akijitambulisha kabla ya kuanza
Waziri wa Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Isack Kamwelwe katika akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe
wa mkutano huo kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Proffessa Kitila Mkumbo kulia ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Thobias
Mwilapwa ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Isack Kamwelwe kulia akiteta jambo na mmoja wa wadau wa mkutano
huo mara baada ya kupiga picha ya pamoja
Waziri wa Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Isack Kamwelwe akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya
kufungua mkutano huo unaofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort
Mjini Tanga(Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)
No comments :
Post a Comment