Thursday, November 30, 2017

SERIKALI YATILIANA SAINI NA KAMPUNI YA ADPI KUHUSIANA NA UJENZI DSC_0388

DSC_0388
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Aboudjumbe akizungumza machache kabla ya Utiliaji saini na Kampuni ya ADPI Ingenierie kutoka  Ufaransa kuhusu Usimamizi wa Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Terminal Two katika Ukumbi wa Mkutano wa Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
DSC_0408
Muakilishi kutoka Kampuni ya ADPIngenierie ya Ufaransa Frederic Thenevin akizungumza machache kabla ya Utiliaji saini kuhusiana na  Usimamizi wa Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Terminal Two katika Ukumbi wa Mkutano wa Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
DSC_0412
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Aboudjumbe akitiliana saini na Muakilishi kutoka Kampuni ya ADPIngenierie ya Ufaransa Frederic Thenevin kuhusu Usimamizi wa Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Terminal Two katika Ukumbi wa Mkutano wa Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
DSC_0420
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Aboudjumbe kushoto wakibadilishana Mikataba na Muakilishi kutoka Kampuni ya ADPIngenierie ya Ufaransa Frederic Thenevin kuhusu Usimamizi wa Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Terminal Two katika Ukumbi wa Mkutano wa Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
DSC_0430
Gari aina ya Buldoza likiendelea kusafisha katika sehemu ya Uwanja wa ndege Terminal Theree katika muendelezo wa Ujenzi wa Uwanja huo Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments :

Post a Comment