Tuesday, October 17, 2017

SAMIA: MADEREVA WA BODABODA ACHENI HARAKA


1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro katika maadhimisho ya Wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani kitaifa yaliyofanyika mkoani humo, leo.
2
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara yaUjenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mhe. Elius Kwandikwa (Mb),akielezea mikakati ya Serikali katika kudhibiti ajali za barabarani katika maadhimisho ya Wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani kitaifayaliyofanyika mkoani Kilimanjaro, leo.
3
Wanafunzi na Wananchi wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,katika maadhimisho ya Wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani kitaifa yaliyofanyika mkoani humo, leo.
……………..
MaderevawaPikipiki (bodaboda)nchiniwametakiwakutiisheriazaUsalamaBarabaranibilashurutikwaniajalinyingizinazotokeabarabaranizimekuwazikisababishwanauzembeunaofanywanamaderevahao.
Akizungumzaleokatikamaadhimishoya ...
wiki yanendakwausalamakitaifamkoani Kilimanjaro MakamuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania,MheshimiwaSamiaSuluhu Hassan,amesemakuwachanzokikuu cha ajalihizoniuharakawalionaomaderevahaonaukosefuwamafunzoyausalamabarabaranikwabaadhiyamadereva.
“Maderevawabodabodanaombambadilike, muwenatabiayakutii sharia zausalamabarabaranibilashurutikwaniajalinyinginchinizimekuwazikisababishwananyinyikutokananaharakaharakazenu”, amesemaMakamuRais.
Aidha, amefafanuakuwaTathminiiliyofanywanaJeshi la PolisiKitengo cha UsalamaBarabaranikuanziamweziJanuarihadiSeptembamwakahuukatikamkoawa Kilimanjaro imebainikuwakunaajalizaPikipiki 84 zilizojitokezaambazokatiyahizo, 61 zimesababishavifonazilizobakimajeruhi.
KuhusuajalizamabasiyaabiriaMheshimiwaMakamuwaRaisamesemakuwazimepunguakutokananauwepowambinuzaudhibitiwamabasihayokama vileupigajipichakwamagariyanayozidishaspidiyakiwabarabarani (Tochi), naukaguziwamarakwamaraunaofanywanaJeshi la polisikupitiaKitengo cha UsalamaBarabaranikatikamagariyaabirianchini.
MakamuwaRaisamefurahishwanamkakatiwaSerikaliwauandaajiwamfumompyanawakisasawakuwekakamerazitakazorekodimakosayausalamabarabaraniyanayofanywanamaderevanchini.
AmetoaraikwaAskariwaUsalamaBarabaranikutotumiakigezo cha kupigaTochikwakuwaonea, kuwanyanyasamaderevanakudairushwakwanivitendohavikubalikikisherianahatua kali zitachukuliwakwayeyoteanayejihusishanavitendohivyo.
“Taswiratunayoitakanikuwawananchiwawaoneaskarikamawalinziwamalizaonamaishayaonasivinginevyo”, amesisitizaMakamuwaRais.
Katikahatuanyingine, MakamuwaRaisamelitkaBaraza la Taifa la UsalamaBarabaraninawadau wake kuhakikishawanabadilishambinuzanamnayakukabiliananatatizo la ajalinchininakuongezanguvukatikakudhibitimwendokasi, ulevikwamadereva, kutovaakofiangumukwawaendeshabodaboda, kutofungamkandakwabaadhiyaabirianaukosefuwavifaavyakuwalindawatotowadogowakiwakwenyegari.
Kwaupande wake, MwenyekitiwaBaraza la Taifa la UsalamaBarabaraniambayepianiWaziriwa Mambo yaNdaniyaNchi, MheshimiwaMwiguluNchemba (Mb), amemhakikishiaMakamuwaRaiskuwawataboreshanakuundambinumbalimbaliilikudhibitiajalizabarabaranizinazowezakuepukika.
AmewatakawananchikuungamkonojitihadazinazofanywanaSerikalikatikakupunguzaajalizaBarabaraninakuwasisitizamaderevakuzingatiasheriazausalamaBarabaranikwanihatua kali zitachukuliwakwayeyoteanayekiukasheriahizo.
Naye, MakamuMwenyekitiwaBarazahilo, ambayepianiNaibuWaziriwaWizarayaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano (SektayaUjenzi), Mhe. EliusKwandikwa(Mb), amesemakuwaBarazalimekuwalikifanyajitihadambalimbaliilikudhibitiajalizabarabaranikamautoajiwaelimukwaummakupitiavyombovyaHabarikamaTelevisheninaRediopamojanauandaajiwaviperushinamajarida.
Maadhimishoya Wiki yanendakwaUsalamaBarabaraniKitaifayaliyobebakaulimbiu “Zuiaajali, TiiSheria – Okoamaisha”, kwamwakahuuyameadhimishwamkoani Kilimanjaro amabapoyameshirikishawadaumbalimbaliwausalamanchini.
ImetolewanaKitengo cha MawasilianoSerikalini, WizarayaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano.

No comments :

Post a Comment