Saturday, September 30, 2017

Waagwa kwenda Dafurl Sudan kwa Ulinzi wa Amani


_DCM9039
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Andrew Sattaa akiwakabidhi bendera ya Taifa kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi hilo (IGP) Simon Sirro, askari wa Jeshi hilo wanaokwenda Darful, nchini Sudani kushiriki shughuli za Ulinzi wa amani ambapo amewataka askari hao kufanya kazi kwa weledi na kwa kufuata taratibu kwa kipindi chote watakachokuwemo nchini  humo. Picha na Jeshi la Polisi
_MG_1599
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Adrew Satta, akimuwakilisha Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwaaga askari wanaokwenda kushiriki shughuli za Ulinzi wa Amani Darful Nchini Sudan, ambapo amewataka askari hao kufanya kazi kwa weledi na kwa kufuata taratibu kwa kipindi chote watakachokuwemo nchini  humo. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments :

Post a Comment