Wednesday, September 13, 2017

MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU ZANZIBAR AZUNGUMZA NA MAAFISA HABARI

DSC_0908
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar, Bw. Hassan Khatib akizungumza na Maafsa Habari  wa Taasisi mbalimbali za Serikali kuhusiana na upashaji habari za maendeleo katika taasisi zao kikao kilichofanyika Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjiniUnguja.
DSC_0918
Afisa wa Habari kutoka Ofisi ya Mtakwimu mkuu wa Serikali Salama Njani akitoa mchango wake katika kikao cha maafsa habari kutoka Taasisi mbalimbali kuhusiana na Utoaji wa Habari za maendeleo katika Taasisi zao kikao kilichofanyika Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Zanzibar.
(PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR)

No comments :

Post a Comment