Mkuu wa Wilaya ya Newala, Aziza
Mangosongo, akizungumza na maofisa ugani wakati akifungua mafunzo ya
siku moja ya jinsi ya kutumia sayansi na teknolojia katika kuboresha
kilimo kwa maofisa ugani kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala ambayo
yameandaliwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kupitia
Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB). Kutoka kushoto
ni Mtafiti, Bestina Daniel kutoka COSTECH na Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) wa Wilaya hiyo, Ally Lilama.
Pages
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment