Thursday, August 3, 2017

WAZIRI MWAKYEMBE AKUTANA NA WASANII WA BONGO FLAVA, WAJADILI CHANGAMOTO ZINAZOSUMBUA MASLAHI YAO

 Waziri wa Habri, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, akifurahia jambo kwa kupiga makofi wakati wa kikao chake na wasanii wa muziki wa kizazi kipya "Bongo Flava' kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2017. Wasanii wa muziki huo walieleza changamoto mbalimbali zinazoukabili muziki wao na hivyo kushusha kipato chao ikiwa ni pamoja na masuala ya mikataba mibovu pamoja na kuibwa kwa kazi za wasanii
 Dkt. Mwakyembe akipokea zawadi ya mchoro wenye saa ya ukutani iliyotolewa na wasanii hao. Wanaokabidhi zawadi hiyo ni Mwenyekiti wa wasanii hao wanaounda chama cha TUMA, Bw. Brighton Mbwana, na msanii Witness Kibonge mwepesi.
 Dkt. Mwakyembe akifurahia jambo na Naibu Waziri wake, Mhe.Anastazia Wambura
 Hamorapa nae alikuwepo
 Mwana FA, akifuatilia kwa makini kikao hicho.
 Kaimu Katibu Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa Tanzania, (BASATA), Bw. Onesmo Kayanda, akizungumza kwenye kikao hicho.
 Mwenyekiti wa Chama Cha Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongho Flava, Bw.Brighton Mbwana akitoa hotuba yake.
 Mwanasheria wa wamauziki Mwana FA na AY, Bw.Albert Msando, akizungumza kwenye kikao hicho ambapo alieleza udhaifu wa mikataba wanayoingia wasanii na makampuni unavyowatafuna.
 Mhe. Dkt. Mwakyembe akimsikiliza kwa makini mwanasheria Msando
 Mwanamuziki mkongwe nchini, Carola Kinasha, akizungumza
 Baadhi ya wasanii walohudhuria kikao hicho
 Msanii wa Bongo Flava, AY
 Mhe. Dkt. Mwakyembe akiwasili kwenye ukumbi huo.
 Wasanii wakongwe hawa wakiwa nimiongoni mwa walioshiriki mkutano huo.
 Meza kuu.
 AY akizungumza na mwanasheria wake, Albert Msando.

Witness akipeleka zawadi ya Mhe. Waziri.

No comments :

Post a Comment