Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja ya wakazi
wa Hale mkoani Tanga mara baada ya kuhutubia katika eneo hilo.
|
Viongozi
mbalimbali wa mkoa wa Tanga akiwemo Wabunge na wakuu wa Wilaya wakipiga makofi
wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
alipokuwa akihutubia Mkata mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM Bi.Khadija
Juma mara baada ya kusoma ujumbe ulioandikwa kwenye sare aliyovaa mama huyo.
Wananchi wa
Muheza wakimpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli mara baada ya kufika katika eneo hilo la mjini akiwa njiani kuelekea
Tanga. (PICHA NA IKULU)
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mkuu wa
Mkoa wa Tanga Martin Shigela kabla ya kuwahutubia wananchi wa Hale mkoani
Tanga.
No comments :
Post a Comment