Katibu
na Mwanasheria toka Bodi ya Korosho Bi. Ugumba Kilasa (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari
(hawapo pichani) wakati akielezea upatikanaji wa mbolea ya Salfa kwa wakulima
wa korosho mapema hii leo Agosti 3, 2017 jijini Dar es Salaam, kushoto ni Kaimu Mkurugenzi
Msaidizi Idara ya habari Bw. Rodney Thadeus.
Baadhi
ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkaguzi wa ndani toka Bodi ya Korosho Bw. Christopher
Mwaya wakati akielezea upatikanaji wa mbolea ya Salfa kwa wakulima wa korosho
mapema hii leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Eliphace Marwa – Maelezo).
No comments :
Post a Comment