Mjumbe wa Baraza la Watoto la Kata ya Mseke Theresia
Msemwa(kushoto) akisoma risala kwa niaba ya Baraza la watoto la kata ya Mseke
kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto
anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba Nkinga alipofanya
ziara na kuzungumza na Baraza la Watoto la Kata ya Mseke na Kikundi cha Malezi
na Uhamasishaji wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto Mkoani Iringa.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia
Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba
Nkinga akizungumza na Baraza la Watoto la Kata ya Mseke na Kikundi cha
Malezi na Uhamasishaji wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto Mkoani Iringa wakati
alipofanya ziara Mkoani hapo kuangalia utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya
Jamii.
Katibu Tawala
wa Mkoa wa Iringa Bibi Waumoja Ayoub akisisitiza jambo kwa Baraza la
Watoto la Kata ya Mseke na Kikundi cha Malezi na Uhamasishaji wa Ulinzi na
Usalama wa Mtoto Mkoani Iringa wakati Katibu Mkuu Wizara ya Afya
Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya
Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba Nkinga alipofanya ziara Mkoani hapo kuangalia
utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya Jamii.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Iringa Bw.Robert Masunya
akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia
Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba
Nkinga alipofanya ziara na kuzungumza na Baraza la Watoto la Kata ya Mseke na
Kikundi cha Malezi na Uhamasishaji wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto Mkoani Iringa.
Baadhi ya watoto wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya
Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya
Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba Nkinga(hayupo pichani) wakati Katibu Mkuu huyo
alipofanya ziara Mkoani Iringa na kuzungumza na Baraza la Watoto la Kata ya
Mseke na Kikundi cha Malezi na Uhamasishaji wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto.
Baadhi ya watoto wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya
Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya
Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba Nkinga(hayupo pichani) wakati Katibu Mkuu huyo
alipofanya ziara Mkoani Iringa na kuzungumza na Baraza la Watoto la Kata ya
Mseke na Kikundi cha Malezi na Uhamasishaji wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto.
Wajumbe wa Baraza la Watoto la Kata ya Mseke Mkoani
Iringa wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee
na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba
Nkinga(hayupo pichani) wakati Katibu Mkuu huyo alipofanya ziara Mkoani hapo kuzungumza
na Baraza la Watoto la Kata ya Mseke na Kikundi cha Malezi na Uhamasishaji wa
Ulinzi na Usalama wa Mtoto.
Kikundi cha Sanaa cha Baraza la Watoto la Kata ya
Mseke Mkoani Iringa wakicheza ngoma maalum wakati Katibu Mkuu Wizara ya Afya
Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya
Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba Nkinga(hayupo pichani) wakati Katibu Mkuu huyo
alipofanya ziara Mkoani hapo kuzungumza na Baraza la Watoto la Kata ya Mseke na
Kikundi cha Malezi na Uhamasishaji wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia
Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba
Nkinga akitoa mchango wake kuwezesha Mfuko wa Baraza la watoto la Kata ya Mseke
Mkoa ni Iringa.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia
Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba
Nkinga(kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Baraza la Watoto la Taifa,
Lulu Nziku mara baada ya kumaliza kikao na Baraza la Watoto la Kata ya Mseke na
Kikundi cha Malezi na Uhamasishaji wa Ulinzi na Usalama wa mtoto Mkoani Iringa.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia
Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba
Nkinga(kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Watoto la
Kata ya Mseke Mkoani Iringa.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia
Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba
Nkinga(kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Kikundi cha Malezi na
Uhamasishaji wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto Mkoani Iringa.(PICHA NA ERASTO
CHING’ORO WAMJW)
No comments :
Post a Comment