Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2017,Amour Hamad Amour ameweka jiwe la Msingi katika shule ya Msingi Little Treasures iliyopo katika kijiji cha Bugayambelele kata ya Kizumbi katika Manispaa ya Shinyanga.
Pages
Wednesday, July 12, 2017
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA VYUMBA VYA MADARASA SHULE YA LITTLE TREASURES SHINYANGA
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2017,Amour Hamad Amour ameweka jiwe la Msingi katika shule ya Msingi Little Treasures iliyopo katika kijiji cha Bugayambelele kata ya Kizumbi katika Manispaa ya Shinyanga.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment