Kiongozi wa Wabunge wa Viti
Maalumu, Mkoa wa Dar es Salaam, na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela kairuki,
akizungumza na Wanachama wa CCM na Viongozi wa UWT, wakati wa ziara ya
wabunge hao katika Wilaya ya Ilala kuhamasisha wanachama kuhusu uchaguzi
wa Jumuiya hiyo na Uhai wa Chama katika mkutano uliofanyika mwishoni
mwa wiki kwenye Ukumbi wa Kitunda CCM uliopo Kitunda jijini Dar es
Salaam. Picha Muhidin Sufiani
Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bona
Karua, akizungumza kutoa baadhi ya kero za wapiga kura wake mbele ya
mgeni rasmi Kiongozi wa Wabunge wa Viti Maalumu, Mkoa wa Dar es Salaam,
na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora, Angela kairuki, wakati wa ziara ya wabunge wa Viti Maalumu
Mkoa wa Dar es Salaam, katika Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala
kuhamasisha wanachama kuhusu uchaguzi wa UWT na Uhai wa Chama katika
mkutano uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa CCM Liwiti Tabata
Dar es Salaam. Picha Muhidin Sufiani
Kiongozi wa Wabunge wa Viti
Maalumu, Mkoa wa Dar es Salaam, na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela kairuki,
akizungumza na Wanachama wa CCM na Viongozi wa UWT, wakati wa ziara ya
wabunge hao katika Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala kuhamasisha
wanachama kuhusu uchaguzi wa Jumuiya hiyo na Uhai wa Chama katika
mkutano uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa CCM Liwiti Tabata
Dar es Salaam. Picha Muhidin Sufiani
Baadhi ya Wanachama wa CCM Kata
ya Kitunda wakimsikiliza kwa makini Kiongozi wa Wabunge wa Viti Maalumu,
Mkoa wa Dar es Salaam, na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela kairuki, wakati akiwahutubia
katika mkutano wa kuhamasisha uchaguzi na kuimarisha chama kuelekea
uchagzi wa UWT. Picha na Muhidin Sufiani
Kiongozi wa Wabunge wa Viti
Maalumu, Mkoa wa Dar es Salaam, na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela kairuki,
akiagana na baadhi ya wanachama wa CCM baada ya kumaliza kuwahutubia
katika mkutano wa kuhamasisha wanachama kuhusu uchaguzi wa UWT na Uhai
wa Chama katika mkutano uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa
Kitunda CCM uliopo Kitunda jijini Dar es Salaam. Picha Muhidin Sufiani
Kiongozi wa Wabunge wa Viti
Maalumu, Mkoa wa Dar es Salaam, na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela kairuki,
akiagana na baadhi ya wanachama wa CCM baada ya kumaliza kuwahutubia
katika mkutano wa kuhamasisha wanachama kuhusu uchaguzi wa UWT na Uhai
wa Chama katika mkutano uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa
Kitunda CCM uliopo Kitunda jijini Dar es Salaam. Picha Muhidin Sufiani
Kiongozi wa Wabunge wa Viti
Maalumu, Mkoa wa Dar es Salaam, na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela kairuki,
akizungumza jambo na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dar esSalaam, Janeth
MAsaburi, wakati wa ziara ya wabunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dar es
Salaam, katika Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala kuhamasisha wanachama
kuhusu uchaguzi wa Jumuiya hiyo na Uhai wa Chama katika mkutano
uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa CCM Liwiti Tabata Dar es
Salaam. Picha Muhidin Sufiani
Wanachama wa CCM wakifurahia na kucheza kwa pamoja wakati wa mkutano huo.
Baadhi ya Vioongozi wa meza Kuu.
Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dar
es Salaam, Janeth Masaburi, akizungumza machache kabla ya kumkaribisha
mgeni rasmi kuzungumza, wakati wa ziara ya wabunge wa Viti Maalumu Mkoa
wa Dar es Salaam, katika Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala kuhamasisha
wanachama kuhusu uchaguzi wa Jumuiya hiyo na Uhai wa Chama katika
mkutano uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa CCM Liwiti Tabata
Dar es Salaam. Picha Muhidin Sufiani
No comments :
Post a Comment