Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Dk Harrison Mwakyembe akimkabidhi Kamusi kuu ya Kiswahili
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe.George Simbachawene leo
Mjini Dodoma.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Dk.Harrison Mwakyembe akitia saini kitabu cha wageni
baada ya kuwasili katika Ofisi za TAMISEMI mjini Dodoma.Kulia ni Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe.George Simbachawene.
Picha zote na Daudi Manongi,MAELEZO,DODOMA.
|
No comments :
Post a Comment