Mkurugenzi
Mkuu wa SSRA Bi. Irene Isaka akiwa katika dawati la mapokezi
akimuhudumia mmoja wa wateja kwa sura ya furaha katika maadhimisho ya
wiki ya utumishi iliyofanyika leo katika ofizi za Mamlaka ya Usimamizi
wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii SSRA Kinondoni jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu Bi Irene Isaka akimsikiliza mteja kwa makini
Wafanyakazi wa SSRA wakiwahudumia wageni kwa sura ya bashasha
Mkurugenzi
wa Tafiti,Tathimini na Sera akifafanunua baadhi ya mambo wakati wa
semina ya Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii SSRA kwa
maafisa Habari na mawasiliano serikalini
Mkurugenzi
wa Uhusiano na Uhamasishaji toka SSRA Sara Kibonde Msika akiwasilisha
mada kuhusu hali ya Hifadhi ya Jamii nchini wakati semina kwa maafisa
Habari na mawasiliano serikalini
Mkuu
wa kitengo cha Elimu kwa umma na mawasiliano toka Mamlaka ya Elimu
Tanzania Bi Silvia Lupembe akitoa neno la shukrani wakati wa semina ya
Hifadhi ya Jamii iliyoandaliwa na SSRA
Mkurugenzi
wa Manunuzi na Ugavi Bw. Emmanuel Urembo akiwa kwenye dawati la
mapokezi akimuhudumia mgeni aliefika kwenye ofisi za SSRA maeneo ya
kinondoni moroco
Mkurugenzi
Mkuu wa SSRA Bi. Irene Isaka akiwa na Wafanyakazi wa Mamlaka hiyo
kwenye moja ya vikao vilivyoandaliwa katika wiki ya utumishi wa umma
lengo likiwa ni kusikiliza na kutatua changamoto zao
Baadhi
ya Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini wakifuatilia semina ya
Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii SSRA iliyoandaliwa na
SSRA kama sehemu ya maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2017
Maafisa Habari na mawasiliano serikalini wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa SSRA baada semina ya Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii SSRA kama sehemu ya maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma
No comments :
Post a Comment