Taasisi ya Kimataifa ya Josephat Torner Foundation Europe (JTFE) inayojishughulisha na masuala ya watu wenye Ualbino imetoa msaada wa miwani ya kuzuia mionzi ya jua,viatu, vifaa vya michezo kwa watoto ikiwemo midoli katika kituo cha kulelea watoto wenye ualbino cha Buhangija katika manispaa ya Shinyanga chenye watoto wenye ualbino 142,wasioona 26 na wasiosikia 60.
Pages
Saturday, May 27, 2017
TAASISI YA KIMATAIFA YA JTFE YATOA ELIMU MASUALA YA UALBINO KWA VIONGOZI WA KANISA LA KKKT - DKMZV
Taasisi ya Kimataifa ya Josephat Torner Foundation Europe (JTFE) inayojishughulisha na masuala ya watu wenye Ualbino imetoa msaada wa miwani ya kuzuia mionzi ya jua,viatu, vifaa vya michezo kwa watoto ikiwemo midoli katika kituo cha kulelea watoto wenye ualbino cha Buhangija katika manispaa ya Shinyanga chenye watoto wenye ualbino 142,wasioona 26 na wasiosikia 60.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment