Saturday, May 27, 2017

TAASISI YA KIMATAIFA YA JTFE YATOA ELIMU MASUALA YA UALBINO KWA VIONGOZI WA KANISA LA KKKT - DKMZV


Taasisi ya Kimataifa ya Josephat Torner Foundation Europe (JTFE) inayojishughulisha na masuala ya watu wenye Ualbino yenye makao makuu yake nchini Uholanzi leo imetoa elimu kuhusu mambo ya ualbino kwa viongozi Kanisa la KKKT Dayosisi Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria (DKMZV). 

Taasisi ya Kimataifa ya Josephat Torner Foundation Europe (JTFE) inayojishughulisha na masuala ya watu wenye Ualbino imetoa msaada wa miwani ya kuzuia mionzi ya jua,viatu, vifaa vya michezo kwa watoto ikiwemo midoli katika kituo cha kulelea watoto wenye ualbino cha Buhangija katika manispaa ya Shinyanga chenye watoto wenye ualbino 142,wasioona 26 na wasiosikia 60.

No comments :

Post a Comment