Lori lililopakia Boti ya MV MKONGO likipita chini ya daraja
la Furahisha jijini Mwanza. Boti hiyo inayomilikiwa na Wakala wa Ufundi na Umeme
(TEMESA) inasafirishwa kuelekea mkoa wa Pwani kwa ajili ya kutoa huduma ya kusafirisha
abiria kati ya Utete na Mkongo.
Pages
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment