Saturday, May 27, 2017

BOTI YA MV MKONGO YASAFIRISHWA KUELEKEA UTETE PWANI


Lori lililopakia Boti ya MV MKONGO likipita chini ya daraja la Furahisha jijini Mwanza. Boti hiyo inayomilikiwa na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) inasafirishwa kuelekea mkoa wa Pwani kwa ajili ya kutoa huduma ya kusafirisha abiria kati ya Utete na Mkongo.


No comments :

Post a Comment