Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bi. Beng’i
Issa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu
umuhimu wa kununua hisa kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa
Wizara ya Fedha na Mipango mkoani Dodoma.
Afisa
Mawasiliano Mwandamizi wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi
Kiuchumi, Bw. Edward Kessy, akitoa ufafanuzi wa namna ya kununua hisa
hizo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye mkutano
uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango mkoani Dodoma.
Baadhi
ya waandishi wa habari wakifatilia kwa makini maelezo ya Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bi. Beng’I
Issa (hayupo pichani) alipokuwa anatolea ufafanuzi kuhusu umuhimu wa
kununua hisa kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha
na Mipango mkoani Dodoma.
Baadhi
ya waandishi wa habari wakifatilia kwa makini maelezo ya Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bi. Beng’I
Issa (hayupo pichani) alipokuwa anatolea ufafanuzi kuhusu umuhimu wa
kununua hisa kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha
na Mipango mkoani Dodoma.
(Piha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Fedha na Mipango)
No comments :
Post a Comment